
Masharti ya Kutumia
1. Kutumia xLingua
xLingua ni huduma ya lugha kadhaa kwenye internet. Huduma hio inatoa kamusi kadhaa za internet pamoja na „application programming interface“ (API) yake.Kutumia huduma ya msingi yaani kamusi ni bure. Imekatazwa kuendeleza huduma za xLingua kwa wengine na kuwaombea malipo isipokuwa mwenye haki anakubali na kuandika hivyo.2. Wajibu
xLingua haiwajibiki lo lote kutoka matumizi ya xLingua. Haiwezekani kuhakikisha ukweli wa matafsiri na kwamba xLingua isifanye makosa.Pia haihakikishi kwamba huduma zake zipatikane popote kila wakati.xLingua haina wajibu wowote kuhusu maudhui ya tovuti nyingine zilizounganishiana na xLingua. Hivyo ni kwa viungo vyote.Maudhui zinazoingizwa katika vikundi na watumiaji wa vikundi ni wajibu wao tu.Mashauri ya tafsiri yanatathminiwa kwa ajili ya kuzuia matumizi mabaya.Ikiwa viungo, maoni katika vikundi au matafsiri zinaelekea mambo yasiyo halali, viungo, maoni au matafsiri hizo zitaachwa na xLingua. Ukitia tuhuma kuhusu matumizi mabaya tafadhali tupashe habari. Asante.
3. Kuchambua na kukinga data
xLingua haitawala data binafsi za watumiaji.Matumizi ya kamusi yanawezekana bila kujiandikisha.Kwa matumizi ya huduma nyingine mteja anahitaji kujiandikisha katika czPayment.czPayment inatawala data binafsi za watumiaji kama iliyoandikwa kwenye masharti ya czPayment.Matumizi ya huduma nyingine za xLingua yanapatikana baada ya kujiandikisha katika czPayment tu.
4. Chapa ya kunakili
- 4.1. Haki zote zimechukuliwa na kampuni Computer Zentrum Strausberg GmbH. Zinahusu yaliyomo yote kama vile software, kanzi, application programme interface (API) na maudhui nyingine na pia haki zote za uuzaji.
- 4.2. Jede Verwendung der Software, der Datenbanken und der sonstigen Inhalte ist nur in der Form erlaubt, wie sie unter xLingua angeboten wird.
- 4.3. Automatisierte Abfragen aller Art sind verboten.
- 4.4. Der Zugriff über Programme Dritter ist ausschließlich über das API erlaubt. Richtlinien für die Nutzung des API finden Sie unter Nutzung des API.
- 4.5. Links zu xLingua sind erlaubt, sofern die verlinkende Seite direkt auf das Angebot von xLingua verweist und keinen rechtswidrigen oder pornografischen Inhalt enthält. Links dürfen ausschließlich auf eine der gültigen xLingua-Seiten verweisen.
- 4.6. Inaruhusiwa kuingiza sehemu ya kutafuta ya xLingua katika tovuti nyingine ikiwa
- a) xLingua inatajwa katika sehemu ya kutafuta na utafiti unaonekana kama utafiti wa xLingua.
- b) ukurasa wa matokeo inatolewa bila kubadilika yaani itaonyesha matangazo pia.